Matthew 13:37 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Yesu akawaambia, “Mpanzi wa zile mbegu nzuri ni Mwana wa Mtu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Akawaambia, “Aliyepanda mbegu nzuri ni Mwana wa Adamu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akajibu, akasema, Azipandaye zile mbegu njema ni Mwana wa Adamu;
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Akajibu, “Mtu aliyepanda mbegu nzuri katika shamba ni Mwana wa Adamu.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Yesu akawaambia, “Mpanzi wa zile mbegu nzuri ni Mwana wa Mtu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Yesu akawaambia, “Mpanzi wa zile mbegu nzuri ni Mwana wa Mtu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Akawaambia, “Aliyepanda mbegu nzuri ni Mwana wa Adamu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Akawaambia, “Aliyepanda mbegu nzuri ni Mwana wa Adamu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akajibu, akasema, Azipandaye zile mbegu njema ni Mwana wa Adamu;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Yesu akawaambia, “Mpanzi wa zile mbegu nzuri ni Mwana wa Mtu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Akajibu akisema: Mwenye kumiaga mbegu nzuri ni Mwana wa mtu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akajibu, akasema, Azipandaye zile mbegu njema ni Mwana wa Adamu;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Naye akawajibu: “Yule anayepanda mbegu nzuri ni Mwana wa Mutu.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Akajibu, akasema, Azipandiie zile mbegu njema ni Mwana wa Adamu;