Matthew 13:51 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Yesu akawauliza, “Je, mmeelewa mambo haya yote?” Wakamjibu, “Naam.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Isa akauliza, “Je, mmeyaelewa haya yote?” Wakamjibu, “Ndiyo.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Yesu aliwauliza, Mmeyafahamu hayo yote? Wakamwambia, Naam.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Kisha Yesu akawauliza wafuasi wake, “Mnaelewa mambo yote haya?” Wakasema, “Ndiyo, tunaelewa.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Yesu akawauliza, “Je, mmeelewa mambo haya yote?” Wakamjibu, “Naam.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Yesu akawauliza, “Je, mmeelewa mambo haya yote?” Wakamjibu, “Naam.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yesu akauliza, “Je, mmeyaelewa haya yote?” Wakamjibu, “Ndiyo.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Isa akauliza, “Je, mmeyaelewa haya yote?” Wakamjibu, “Ndiyo.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Yesu aliwauliza, Mmeyafahamu hayo yote? Wakamwambia, Naam.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Yesu akawauliza, “Je, mmeelewa mambo haya yote?” Wakamjibu, “Naam.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mmeijua maana ya hayo yote? Walipomwambia: Ndio,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Yesu aliwauliza, Mmeyafahamu hayo yote? Wakamwambia, Naam.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Yesu akawauliza watu: “Mumeelewa maneno hayo yote?” Nao wakamujibu: “Ndiyo.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Yesu aliwaambia, Mmeyafahamu haya yote? Wakamwambia, Naam, Bwana.