Matthew 13:58 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kwa hiyo, hakutenda miujiza mingi pale kwa sababu ya kutoamini kwao.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Naye hakufanya miujiza mingi huko kwa sababu ya kutokuamini kwao.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wala hakufanya miujiza mingi huko, kwa sababu ya kutokuamini kwao.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Yesu hakufanya miujiza mingi huko, kwa sababu watu hawakumwamini.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Kwa hiyo, hakutenda miujiza mingi pale kwa sababu ya kutoamini kwao.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kwa hiyo, hakutenda miujiza mingi pale kwa sababu ya kutoamini kwao.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Naye hakufanya miujiza mingi huko kwa sababu ya kutokuamini kwao.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Naye hakufanya miujiza mingi huko kwa sababu ya kutokuamini kwao.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wala hakufanya miujiza mingi huko, kwa sababu ya kutoamini kwao.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kwa hiyo, hakutenda miujiza mingi pale kwa sababu ya kutoamini kwao.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwa hiyo hakufanya kule ya nguvu mengi, kwa sababu walikataa kumtegemea.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wala hakufanya miujiza mingi huko, kwa sababu ya kutokuamini kwao.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Na hivi kwa sababu ya kutokuamini kwa watu hao, Yesu hakufanya miujiza mingi kule.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Wala hakufanya miujiza mingi huko, kwa sababu ya kutokuamini kwao.