Matthew 14:1 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wakati huo, mtawala Herode alisikia sifa za Yesu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wakati huo, Mfalme Herode, mtawala wa Galilaya, alisikia habari za Isa,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wakati ule mfalme Herode alisikia habari za Yesu, akawaambia watumishi wake,
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Katika wakati huo, Herode, mtawala wa Galilaya, alisikia ambacho watu walikuwa wanasema kuhusu Yesu.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Wakati huo, mtawala Herode alisikia sifa za Yesu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wakati huo, mtawala Herode alisikia sifa za Yesu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wakati huo, Mfalme Herode aliyekuwa mtawala alisikia habari kuhusu sifa za Yesu,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wakati huo, Mfalme Herode, mtawala wa Galilaya, alisikia habari za Isa,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wakati ule mfalme Herode alisikia habari za Yesu, akawaambia watumishi wake,
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wakati huo, mtawala Herode alisikia sifa za Yesu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Siku zile mfalme Herode alipousikia uvumi wa Yesu,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wakati ule mfalme Herode alisikia habari za Yesu, akawaambia watumishi wake,
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Katika siku zile, Herode, liwali wa jimbo la Galilaya, akasikia habari za Yesu.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
WAKATI ule Herode tetrarka alisikia khabari za Yesu,