Matthew 14:10 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Basi, Herode akatuma mtu gerezani amkate kichwa Yohane.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Hivyo akaagiza Yahya akatwe kichwa mle gerezani.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
akatuma mtu, akamkata kichwa Yohana mle gerezani.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Akawatuma wanaume gerezani, ambako walikikata kichwa cha Yohana.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Basi, Herode akatuma mtu gerezani amkate kichwa Yohane.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Basi, Herode akatuma mtu gerezani amkate kichwa Yohane.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Hivyo akaagiza Yohana Mbatizaji akatwe kichwa mle gerezani.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Hivyo akaagiza Yahya akatwe kichwa mle gerezani.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
akatuma mtu, akamkata kichwa Yohana mle gerezani.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Basi, Herode akatuma mtu gerezani amkate kichwa Yohane.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Akatuma mtu, akamkata Yohana kichwa kifungoni.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
akatuma mtu, akamkata kichwa Yohana mle gerezani.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Basi akaamuru waende kukata kichwa cha Yoane ndani ya kifungo.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
akatuma mtu, akamkata kichwa Yohana mle gerezani.