Matthew 14:11 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kichwa chake kikaletwa katika sinia, wakampa yule msichana, naye akampelekea mama yake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kichwa chake kikaletwa kwenye sinia, akapewa yule binti, naye akampelekea mama yake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kichwa chake kikaletwa katika kombe, akapewa yule kijana; akakichukua kwa mamaye.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Na watu wakakileta kichwa cha Yohana kwenye sahani kubwa na kumpa yule msichana. Kisha yeye akakipeleka kichwa kwa mama yake, Herodia.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Kichwa chake kikaletwa katika sinia, wakampa yule msichana, naye akampelekea mama yake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kichwa chake kikaletwa katika sinia, wakampa yule msichana, naye akampelekea mama yake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kichwa chake kikaletwa kwenye sinia, akapewa yule binti, naye akampelekea mama yake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kichwa chake kikaletwa kwenye sinia, akapewa yule binti, naye akampelekea mama yake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kichwa chake kikaletwa katika kombe, akapewa yule msichana; akakileta kwa mamaye.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kichwa chake kikaletwa katika sinia, wakampa yule msichana, naye akampelekea mama yake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kisha hicho kichwa chake kikaletwa katika chano, msichana akapewa, akampelekea mama yake.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kichwa chake kikaletwa katika kombe, akapewa yule kijana; akakichukua kwa mamaye.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Halafu wakaleta kile kichwa chake ndani ya sahani na kukitoa kwa yule binti, naye akakipeleka kwa mama yake.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Kichwa chake kikaletwa katika kombe, akapewa yule kijana: akakichukua kwa mama yake.