Matthew 14:16 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Yesu akawaambia, “Si lazima waende, wapeni nyinyi chakula.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Isa akawaambia, “Hakuna sababu ya wao kuondoka. Ninyi wapeni chakula.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Yesu akawaambia, Hawana haja kwenda zao, wapeni ninyi vyakula.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Yesu akasema, “Watu hawahitaji kuondoka. Wapeni ninyi chakula wale.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Yesu akawaambia, “Si lazima waende, wapeni ninyi chakula.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Yesu akawaambia, “Si lazima waende, wapeni nyinyi chakula.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yesu akawaambia, “Hakuna sababu ya wao kuondoka. Ninyi wapeni chakula.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Isa akawaambia, “Hakuna sababu ya wao kuondoka. Ninyi wapeni chakula.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Yesu akawaambia, Hawana haja kwenda zao, wapeni ninyi vyakula.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Yesu akawaambia, “Si lazima waende, wapeni nyinyi chakula.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Yesu akawaambia: Waendeje? Wapeni ninyi vyakula!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Yesu akawaambia, Hawana haja kwenda zao, wapeni ninyi vyakula.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lakini Yesu akawajibu: “Si lazima waende; ninyi wenyewe muwape chakula.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Yesu akawaambia, Hawana haja kwenda zao, wapeni ninyi kula.