Matthew 14:17 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Lakini wao wakamwambia, “Tunayo mikate mitano tu na samaki wawili.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wakamjibu, “Tuna mikate mitano na samaki wawili tu.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wakamwambia, Hamna kitu hapa ila mikate mitano na samaki wawili.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Wafuasi wakajibu, “Lakini tuna mikate mitano na samaki wawili tu.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Lakini wao wakamwambia, “Tunayo mikate mitano tu na samaki wawili.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Lakini wao wakamwambia, “Tunayo mikate mitano tu na samaki wawili.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wakamjibu, “Tuna mikate mitano na samaki wawili tu.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wakamjibu, “Tuna mikate mitano na samaki wawili tu.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wakamwambia, Hamna kitu hapa ila mikate mitano na samaki wawili.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Lakini wao wakamwambia, “Tunayo mikate mitano tu na samaki wawili.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nao wakamwambia: Hatuna kitu hapa ila mikate mitano na visamaki viwili.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wakamwambia, Hamna kitu hapa ila mikate mitano na samaki wawili.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lakini wao wakamujibu: “Hapa tuko tu na mikate mitano na samaki mbili.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Wakamwambia, Hatuna kitu hapa illa mikate mitano na samaki mbili.