Matthew 14:18 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Yesu akawaambia, “Nileteeni hapa.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Akawaambia, “Nileteeni hivyo vitu hapa.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akasema, Nileteeni hapa.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Yesu akasema, “Leteni kwangu mikate na samaki.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Yesu akawaambia, “Nileteeni hapa.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Yesu akawaambia, “Nileteeni hapa.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Akawaambia, “Nileteeni hivyo vitu hapa.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Akawaambia, “Nileteeni hivyo vitu hapa.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akasema, Nileteeni hapa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Yesu akawaambia, “Nileteeni hapa.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Naye akasema: Nileteeni hapa!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akasema, Nileteeni hapa.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Yesu akawaambia: “Muvilete hapa.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Akasema, Nileteeni vitu vile hapa.