Matthew 14:32 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kisha wakapanda mashuani, na upepo ukatulia.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Nao walipoingia ndani ya mashua, upepo ukakoma.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Nao walipopanda chomboni, upepo ulikoma.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Baada ya Petro na Yesu kuingia kwenye mtumbwi, upepo ukakoma.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Basi, wakapanda mashuani, na upepo ukatulia.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kisha wakapanda mashuani, na upepo ukatulia.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Nao walipoingia ndani ya chombo, upepo ukakoma.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Nao walipoingia ndani ya mashua, upepo ukakoma.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Nao walipopanda katika mashua, upepo ulikoma.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kisha wakapanda mashuani, na upepo ukatulia.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Walipopanda chomboni, upepo ukakoma.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Nao walipopanda chomboni, upepo ulikoma.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Nao wote wawili walipopanda ndani ya chombo, upepo ukatulizana.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Walipopanda chomboni, upepo ukakoma.