Matthew 14:34 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Walivuka ziwa, wakafika nchi ya Genesareti.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Walipokwisha kuvuka, wakafika nchi ya Genesareti.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na walipokwisha kuvuka, walifika nchi ya Genesareti.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Baada ya kuvuka ziwa, wakafika pwani katika eneo la Genesareti.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Walivuka ziwa, wakafika nchi ya Genesareti.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Walivuka ziwa, wakafika nchi ya Genesareti.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Walipokwisha kuvuka, wakafika nchi ya Genesareti.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Walipokwisha kuvuka, wakafika nchi ya Genesareti.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na walipokwisha kuvuka, walifika nchi ya Genesareti.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Walivuka ziwa, wakafika nchi ya Genesareti.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Walipokwisha vuka wakafika nchini kwa Genesareti.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na walipokwisha kuvuka, walifika nchi ya Genesareti.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Walipokwisha kuvuka ziwa, wakafika pande za Genezareti.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Na walipokwisha kuvuka, wakafika inchi ya Genesareti.