Matthew 15:21 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Yesu aliondoka mahali hapo akaenda kukaa katika sehemu za Tiro na Sidoni.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Isa aliondoka mahali pale, akaenda sehemu za Tiro na Sidoni.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Yesu akaondoka huko, akaenda kando pande za Tiro na Sidoni.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Kutoka pale, Yesu alikwenda maeneo ya Tiro na Sidoni.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Yesu aliondoka mahali hapo akaenda kukaa katika sehemu za Tiro na Sidoni.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Yesu aliondoka mahali hapo akaenda kukaa katika sehemu za Tiro na Sidoni.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yesu aliondoka mahali pale akaenda sehemu za Tiro na Sidoni.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Isa aliondoka mahali pale, akaenda sehemu za Tiro na Sidoni.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Yesu akaondoka huko, akaenda kando pande za Tiro na Sidoni.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Yesu aliondoka mahali hapo akaenda kukaa katika sehemu za Tiro na Sidoni.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
*Yesu alipotika huko akajiepusha kwenda pande za Tiro na Sidoni.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Yesu akaondoka huko, akaenda kando pande za Tiro na Sidoni.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Yesu akaondoka pale na kwenda pande za karibu na muji wa Tiro na wa Sidona.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Yesu akatoka huko, akaenda pande za Turo na Sidon.