Matthew 15:24 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Yesu akajibu, “Sikutumwa ila kwa watu wa Israeli waliopotea kama kondoo.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Isa akajibu, “Nimetumwa tu kwa ajili ya kondoo wa Israeli waliopotea.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akajibu, akasema, Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Yesu akajibu, “Mungu alinituma niwasaidie kondoo wa Mungu waliopotea, watu wa Israeli.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Yesu akajibu, “Sikutumwa ila kwa watu wa Israeli waliopotea kama kondoo.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Yesu akajibu, “Sikutumwa ila kwa watu wa Israeli waliopotea kama kondoo.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yesu akajibu, “Nimetumwa tu kwa ajili ya kondoo wa Israeli waliopotea.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Isa akajibu, “Nimetumwa tu kwa ajili ya kondoo wa Israeli waliopotea.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akajibu, akasema, Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Yesu akajibu, “Sikutumwa ila kwa watu wa Israeli waliopotea kama kondoo.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Naye akajibu: Sikutumwa pengine, ni kwao tu walio kondoo waliopotea wa mlango wa Isiraeli.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akajibu, akasema, Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Naye Yesu akajibu: “Nimetumwa tu kwa taifa la Waisraeli, wanaokuwa kama kondoo wanaopotea.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Nae akajibu, akasema, Sikupelekwa illa kwa kondoo zilizopotea za nyumba ya Israeli.