Matthew 15:25 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Hapo huyo mama akaja, akamsujudia, akasema, “Bwana, nisaidie.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Lakini yule mwanamke akaja, akapiga magoti mbele ya Isa, akasema, “Bwana, nisaidie!”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Naye akaja akamsujudia, akisema Bwana, unisaidie.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Ndipo mwanamke alikuja mahali alipokuwa Yesu na kuinama mbele yake. Akasema, “Bwana, nisaidie!”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Hapo huyo mama akaja, akapiga magoti mbele yake, akasema, “Mheshimiwa, nisaidie.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Hapo huyo mama akaja, akamsujudia, akasema, “Bwana, nisaidie.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Lakini yule mwanamke akaja, akapiga magoti mbele ya Yesu, akasema, “Bwana, nisaidie!”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Lakini yule mwanamke akaja, akapiga magoti mbele ya Isa, akasema, “Bwana, nisaidie!”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Naye akaja akamsujudia, akisema Bwana, unisaidie.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Hapo huyo mama akaja, akamsujudia, akasema, “Bwana, nisaidie.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Naye mwanamke akaja, akamwangukia, akasema: Bwana, nisaidie!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Naye akaja akamsujudia, akisema Bwana, unisaidie.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lakini mwanamuke yule akapiga magoti mbele yake na kumwambia: “Ee Bwana, unisaidie!”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Nae akaja akamsujudia, akinena. Bwana, nisaidie.