Matthew 15:29 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Yesu alitoka hapo akaenda kando ya ziwa Galilaya, akapanda mlimani, akaketi.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Isa akaondoka na kwenda kando ya Bahari ya Galilaya. Kisha akapanda mlimani, akaketi huko.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Yesu akaondoka huko, akafika kando ya bahari ya Galilaya; akapanda mlimani, akaketi huko.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Kisha Yesu akatoka pale na kwenda pwani ya Ziwa Galilaya. Alipanda vilima na akaketi chini.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Yesu alitoka hapo akaenda kando ya ziwa Galilaya, akapanda mlimani, akaketi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Yesu alitoka hapo akaenda kando ya ziwa Galilaya, akapanda mlimani, akaketi.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yesu akaondoka na kwenda kando ya Bahari ya Galilaya. Kisha akapanda mlimani, akaketi huko.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Isa akaondoka na kwenda kando ya Bahari ya Galilaya. Kisha akapanda mlimani, akaketi huko.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Yesu akaondoka huko, akafika kando ya bahari ya Galilaya; akapanda mlimani, akaketi huko.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Yesu alitoka hapo akaenda kando ya ziwa Galilaya, akapanda mlimani, akaketi.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kisha Yesu akaondoka huko, akafika kandokando ya bahari ya Galilea, akapanda mlimani, akakaa huko.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Yesu akaondoka huko, akafika kando ya bahari ya Galilaya; akapanda mlimani, akaketi huko.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Yesu akaondoka kule, akapita pembeni ya ziwa la Galilaya. Kisha akapanda kwenye kilima, naye akaikaa pale.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Yesu akapita huko, akafika kando ya bahari ya Galilaya; akapanda mlimani, akaketi huko.