Matthew 15:34 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Yesu akawauliza, “Mnayo mikate mingapi?” Wakamjibu, “Saba na visamaki vichache.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Isa akawauliza, “Mnayo mikate mingapi?” Wakamjibu, “Tunayo mikate saba na visamaki vichache.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Yesu akawaambia, Mnayo mikate mingapi? Wakasema, Saba, na visamaki vichache.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Yesu akawauliza, “Mna mikate mingapi?” Wakamjibu, “Tuna mikate saba na samaki wadogo wachache.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Yesu akawauliza, “Mnayo mikate mingapi?” Wakamjibu, “Saba na visamaki vichache.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Yesu akawauliza, “Mnayo mikate mingapi?” Wakamjibu, “Saba na visamaki vichache.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yesu akawauliza, “Mnayo mikate mingapi?” Wakamjibu, “Tunayo mikate saba na visamaki vichache.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Isa akawauliza, “Mnayo mikate mingapi?” Wakamjibu, “Tunayo mikate saba na visamaki vichache.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Yesu akawaambia, Mnayo mikate mingapi? Wakasema, Saba, na visamaki vichache.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Yesu akawauliza, “Mnayo mikate mingapi?” Wakamjibu, “Saba na visamaki vichache.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Yesu akawauliza: Mnayo mikate mingapi? Nao waliposema: Tunayo saba na visamaki vichache,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Yesu akawaambia, Mnayo mikate mingapi? Wakasema, Saba, na visamaki vichache.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Yesu akawauliza: “Muko na mikate ngapi?” Nao wakajibu: “Tuko na mikate saba na samaki ndogo chache.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Yesu akawaambia, Mikate mingapi mnayo? Wakasema, Saba, na visamaki vichache.