Matthew 15:39 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Basi, Yesu akawaaga watu, akapanda mashua, akaenda katika eneo la Magadani.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Baada ya kuaga umati wa watu, Isa aliingia katika mashua, akaenda sehemu za Magadani.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akawaaga makutano, akapanda chomboni, akaenda pande za Magadani.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Baada ya wote kula, Yesu akawaambia watu wanaweza kwenda nyumbani. Alipanda mashua na kwenda eneo la Magadani.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Basi, Yesu akawaaga watu, akapanda mashua, akaenda katika eneo la Magadani.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Basi, Yesu akawaaga watu, akapanda mashua, akaenda katika eneo la Magadani.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Baada ya kuaga ule umati wa watu, Yesu aliingia chomboni akaenda sehemu za Magadani.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Baada ya kuaga ule umati wa watu, Isa aliingia katika mashua, akaenda sehemu za Magadani.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akawaaga makutano, akapanda katika mashua, akaenda pande za Magadani.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Basi, Yesu akawaaga watu, akapanda mashua, akaenda katika eneo la Magadani.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kisha akawaaga makundi, waende zao, akaingia chomboni, akaja mipakani kwa Magadala.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akawaaga makutano, akapanda chomboni, akaenda pande za Magadani.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kisha kuaga yale makundi ya watu, Yesu akaingia ndani ya chombo, na kwenda pande za Magadani.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Akawaaga makutano, akapanda chomboni, akaenda pande za Magdala.