Matthew 15:6 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
basi, hapaswi tena kumheshimu baba yake! Ndivyo mnavyodharau neno la Mungu kwa kufuata mafundisho yenu wenyewe.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
basi hana tena sababu ya kumheshimu baba yake nacho. Basi kwa ajili ya mafundisho yenu mnavunja amri ya Mungu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
basi asimheshimu baba yake au mama yake. Mkalitangua neno la Mungu kwa ajili ya mapokeo yenu.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Mnawafundisha kutowatii baba zao. Hivyo mnafundisha kuwa si muhimu kufanya kile alichosema Mungu. Mnadhani ni muhimu kufuata mila na desturi zenu mlizonazo.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
basi, hapaswi tena kumheshimu baba yake! Ndivyo mnavyodharau neno la Mungu kwa kufuata mafundisho yenu wenyewe.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
basi, hapaswi tena kumheshimu baba yake! Ndivyo mnavyodharau neno la Mungu kwa kufuata mafundisho yenu wenyewe.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Basi kwa ajili ya mafundisho yenu mnavunja amri ya Mungu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
basi hana tena sababu ya kumheshimu baba yake nacho. Basi kwa ajili ya mafundisho yenu mnavunja amri ya Mungu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
basi asimheshimu baba yake au mama yake. Mkalitangua neno la Mungu kwa ajili ya mapokeo yenu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
basi, hapaswi tena kumheshimu baba yake! Ndivyo mnavyodharau neno la Mungu kwa kufuata mafundisho yenu wenyewe.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Hivyo hatamheshimu baba na mama tena; ndivyo, mlivyolitangua Neno la Mungu kwa ajili ya mazoezo ya wakale wenu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
basi asimheshimu baba yake au mama yake. Mkalitangua neno la Mungu kwa ajili ya mapokeo yenu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
basi, hapaswi tena kumusaidia baba yake. Hivi munazarau Neno la Mungu kwa kufuata desturi zenu.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Mkalitangua neno la Mungu kwa mapokeo yemi.