Matthew 15:9 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kuniabudu kwao hakufai, maana mambo wanayofundisha ni maagizo ya kibinadamu tu.’”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Huniabudu bure; nayo mafundisho yao ni maagizo ya wanadamu tu.’ ”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Nao waniabudu bure, Wakifundisha mafundisho Yaliyo maagizo ya wanadamu.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Ibada zao kwangu hazina maana. Wanafundisha kanuni za kibinadamu tu.’”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Kuniabudu kwao hakufai, maana mambo wanayofundisha ni maagizo ya kibinadamu tu.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kuniabudu kwao hakufai, maana mambo wanayofundisha ni maagizo ya kibinadamu tu.’”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kuniabudu kwao ni bure, nayo mafundisho yao ni maagizo ya wanadamu tu.’ ”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Huniabudu bure; nayo mafundisho yao ni maagizo ya wanadamu tu.’ ”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Nao waniabudu bure, Wakifundisha mafundisho Yaliyo maagizo ya wanadamu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kuniabudu kwao hakufai, maana mambo wanayofundisha ni maagizo ya kibinadamu tu.’”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Hivyo hunicha bure, kwani hufundisha mafundisho yaliyto maagizo ya watu tu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Nao waniabudu bure, Wakifundisha mafundisho Yaliyo maagizo ya wanadamu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Ibada wanayonifanyia ni ya bure, sababu mafundisho yao yanalingana na kanuni za watu tu.’ ”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Nao waniabudu ibada ya burre. Wakifundisha mafundisho yaliyo maagizo ya wana Adamu.