Matthew 16:25 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Maana, mtu anayetaka kuyaokoa maisha yake mwenyewe, atayapoteza;
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa maana yeyote anayetaka kuyaokoa maisha yake atayapoteza, lakini yeyote atakayeyapoteza maisha yake kwa ajili yangu atayapata.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwa kuwa mtu atakaye kuiokoa nafsi yake, ataipoteza; na mtu atakayepoteza nafsi yake kwa ajili yangu, ataiona.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Yeyote kati yenu anayetaka kuokoa uhai wake, ataupoteza. Lakini ninyi mlioyaacha maisha yenu kwa ajili yangu mtaupata uzima wa kweli.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Maana, mtu anayetaka kuyaokoa maisha yake mwenyewe, atayapoteza;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Maana, mtu anayetaka kuyaokoa maisha yake mwenyewe, atayapoteza;
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa maana ye yote anayetaka kuyaokoa maisha yake atayapoteza, lakini ye yote atakayeyapoteza maisha yake kwa ajili yangu atayapata.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa maana yeyote anayetaka kuyaokoa maisha yake atayapoteza, lakini yeyote atakayeyapoteza maisha yake kwa ajili yangu atayapata.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kwa kuwa mtu atakaye kuiokoa nafsi yake, ataipoteza; na mtu atakayepoteza nafsi yake kwa ajili yangu, ataiona.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Maana, mtu anayetaka kuyaokoa maisha yake mwenyewe, atayapoteza;
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Maana mtu anayetaka kuikoa roho yake ataiangamiza. Lakini mtu atakayeiangamiza roho yake kwa ajili yangu mimi ataiponya.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwa kuwa mtu atakaye kuiokoa nafsi yake, ataipoteza; na mtu atakayepoteza nafsi yake kwa ajili yangu, ataiona.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kwa maana mutu anayetaka kulinda uzima wake, ataupoteza; lakini yule atakayetoa uzima wake kwa ajili yangu, ataupata tena.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Maana mtu atakae kuisalimisha roho yake, ataiangamiza; na mtu atakaeitoa roho yake kwa ajili yangu, ataiona.