Matthew 16:7 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Lakini wao wakawa wanajadiliana: “Anasema hivyo kwa kuwa hatukuchukua mikate.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wakajadiliana wao kwa wao, wakisema, “Ni kwa sababu hatukuleta mikate.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wakabishana wao kwa wao, wakisema, Ni kwa sababu hatukuchukua mikate.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Wafuasi wakajadiliana maana ya hili. Wakasema, “Amesema hivi kwa sababu tumesahau kubeba mikate?”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Lakini wao wakawa wanajadiliana: “Anasema hivyo kwa kuwa hatukuchukua mikate.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Lakini wao wakawa wanajadiliana: “Anasema hivyo kwa kuwa hatukuchukua mikate.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wakajadiliana wao kwa wao, wakisema, “Ni kwa sababu hatukuleta mikate.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wakajadiliana wao kwa wao, wakisema, “Ni kwa sababu hatukuleta mikate.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wakabishana wao kwa wao, wakisema, Ni kwa sababu hatukuchukua mikate.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Lakini wao wakawa wanajadiliana: “Anasema hivyo kwa kuwa hatukuchukua mikate.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ndipo, walipoyafikiri na kusemeza wao kwa wao: Ni kwa sababu hatukuchukua mikate;
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wakabishana wao kwa wao, wakisema, Ni kwa sababu hatukuchukua mikate.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wanafunzi wakaanza kusemezana hivi wao kwa wao: “Anasema hivi kwa sababu hatuna mikate.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Wakabishana wao kwa wao, wakinena, Ni kwa sababu hatukuchukua mikate.