Matthew 17:18 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Basi, Yesu akamkemea huyo pepo, naye akamtoka, na yule mtoto akapona wakati huohuo.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Isa akamkemea yule pepo mchafu, akamtoka yule kijana, naye akapona tangu saa hiyo.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Yesu akamkemea pepo, naye akamtoka; yule kijana akapona tangu saa ile.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Yesu akamwamuru pepo aliye ndani ya kijana, na pepo akamtoka na yule kijana akapona.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Basi, Yesu akamkemea huyo pepo, naye akamtoka, na yule mtoto akapona wakati huohuo.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Basi, Yesu akamkemea huyo pepo, naye akamtoka, na yule mtoto akapona wakati huohuo.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yesu akamkemea yule pepo mchafu, akamtoka yule kijana, naye akapona saa ile ile.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Isa akamkemea yule pepo mchafu, akamtoka yule kijana, naye akapona saa ile ile.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Yesu akamkemea pepo, naye akamtoka; yule mvulana akapona tangu saa ile.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Basi, Yesu akamkemea huyo pepo, naye akamtoka, na yule mtoto akapona wakati huohuo.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Yesu alipomkaripia, pepo akamtoka; naye mtoto akapona tangu saa ileile.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Yesu akamkemea pepo, naye akamtoka; yule kijana akapona tangu saa ile.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Yesu akamukaripia yule pepo aliyekuwa ndani ya yule mutoto, naye akamwacha, na tangia saa ile ile yule mutoto akapona.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Yesu akamkaripia pepo, akamtoka; yule kijana akapona tangu saa ile.