Matthew 17:8 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Walipoangalia juu hawakumwona mtu, ila Yesu peke yake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Walipoinua macho yao, hawakumwona mtu mwingine yeyote isipokuwa Isa.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wakainua macho yao, wasione mtu ila Yesu peke yake.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Wafuasi wakatazama juu, wakaona kuwa Yesu yuko peke yake.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Walipoinua macho yao hawakumwona mtu, ila Yesu peke yake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Walipoangalia juu hawakumwona mtu, ila Yesu peke yake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Walipoinua macho yao, hawakumwona mtu mwingine ye yote isipokuwa Yesu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Walipoinua macho yao, hawakumwona mtu mwingine yeyote isipokuwa Isa.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wakainua macho yao, wasione mtu ila Yesu peke yake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Walipoangalia juu hawakumwona mtu, ila Yesu peke yake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Walipoyainua macho yao, hakuna waliyemwona, asipokuwa Yesu peke yake.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wakainua macho yao, wasione mtu ila Yesu peke yake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Nao walipoinua macho yao, hawakumwona mutu mwingine, isipokuwa Yesu peke yake.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Wakainua macho yao, wasione mtu illa Yesu peke yake.