Matthew 18:11 — Compare Translations
12 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Maana Mwana wa Mtu alikuja kuwaokoa wale waliopotea.] (Taz Luka 19:10).
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa maana Mwana wa Adamu alikuja kuokoa kile kilichopotea.]
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
[Kwa maana Mwana wa Adamu alikuja kukiokoa kilichopotea.]
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Maana Mwana wa Mtu alikuja kuwaokoa wale waliopotea.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa maana Mwana wa Adamu alikuja kuokoa kile kilichopotea.]
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa maana Mwana wa Adamu alikuja kuokoa kile kilichopotea.]
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kwa maana Mwana wa Adamu alikuja kukiokoa kilichopotea.]
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Maana Mwana wa Mtu alikuja kuwaokoa wale waliopotea.] (Taz Luka 19:10).
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani Mwana wa mtu amekuja kukiokoa kilichoangamia.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
[Kwa maana Mwana wa Adamu alikuja kukiokoa kilichopotea.]
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kwa maana Mwana wa Mutu alikuja kuokoa yule aliyepotea.]
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Kwa maana Mwana wa Adamu alikuja kukiokoa kilichopotea.