Matthew 18:2 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Yesu akamwita mtoto mmoja, akamsimamisha kati yao,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Isa akamwita mtoto mdogo na kumsimamisha katikati yao.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ni nani basi aliye mkuu katika ufalme wa mbinguni? Akaita mtoto mmoja, akamweka katikati yao,
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Yesu akamwita mtoto mdogo, akamsimamisha mbele yao.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Yesu akamwita mtoto mmoja, akamsimamisha kati yao,
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Yesu akamwita mtoto mmoja, akamsimamisha kati yao,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yesu akamwita mtoto mdogo na kumsimamisha katikati yao.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Isa akamwita mtoto mdogo na kumsimamisha katikati yao.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Ni nani basi aliye mkuu katika ufalme wa mbinguni? Akaita mtoto mmoja, akamweka katikati yao,
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Yesu akamwita mtoto mmoja, akamsimamisha kati yao,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Akaita kitoto, akamsimamisha katikati yao,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ni nani basi aliye mkuu katika ufalme wa mbinguni? Akaita mtoto mmoja, akamweka katikati yao,
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Halafu akamwita mutoto mudogo, akamusimamisha katikati yao
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Yesu akaita kitoto, akamweka katikati yao,