Matthew 18:27 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Yule bwana alimwonea huruma, akamsamehe lile deni, akamwacha aende zake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Yule bwana wa huyo mtumishi akamwonea huruma, akafuta deni lake lote, akamwacha aende zake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Bwana wa mtumwa yule akamhurumia, akamfungua, akamsamehe ile deni.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Mfalme alimhurumia. Hivyo akamsamehe yule mtumishi deni lote na akamwacha aende akiwa huru.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Yule bwana alimwonea huruma, akamsamehe lile deni, akamwacha aende zake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Yule bwana alimwonea huruma, akamsamehe lile deni, akamwacha aende zake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yule bwana wa huyo mtumishi akamwonea huruma, akafuta deni lake lote, akamwacha aende zake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Yule bwana wa huyo mtumishi akamwonea huruma, akafuta deni lake lote, akamwacha aende zake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Bwana wa mtumwa yule akamhurumia, akamfungua, akamsamehe ile deni.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Yule bwana alimwonea huruma, akamsamehe lile deni, akamwacha aende zake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Bwana akamwonea uchungu yule mtumwa, akamfungua, akamwachilia hata deni lake.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Bwana wa mtumwa yule akamhurumia, akamfungua, akamsamehe ile deni.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Yule bwana akamusikilia mutumishi yule huruma, akamusamehe deni lile na kumwacha kwenda.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Bwana wa mtumishi yule akamhurumia, akamfungua, akamsamehe ile deni.