Matthew 19:15 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Basi, akawawekea mikono, kisha akaondoka mahali hapo.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Naye akaweka mikono yake juu yao, na akaondoka huko.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akaweka mikono yake juu yao, akatoka huko.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Baada ya Yesu kuwabariki watoto, aliondoka huko.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Basi, akawawekea mikono, kisha akaondoka mahali hapo.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Basi, akawawekea mikono, kisha akaondoka mahali hapo.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Naye akaweka mikono yake juu yao, akaondoka huko.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Naye akaweka mikono yake juu yao, na akaondoka huko.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akaweka mikono yake juu yao, akatoka huko.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Basi, akawawekea mikono, kisha akaondoka mahali hapo.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Akawabandikia mikono; kisha akaondoka pale, akaenda zake.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akaweka mikono yake juu yao, akatoka huko.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Naye alipokwisha kuweka mikono juu yao, akaondoka pale.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Akaweka mikono yake juu yao, akatoka huko.