Matthew 19:20 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Huyo kijana akamwambia, “Hayo yote nimeyazingatia; nifanye nini zaidi?”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Yule kijana akasema, “Hizi zote nimezishika. Je, bado nimepungukiwa na nini?”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Yule kijana akamwambia, Haya yote nimeyashika; nimepungukiwa na nini tena?
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Yule kijana akasema, “Ninazitii amri hizi zote. Nifanye nini zaidi?”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Huyo kijana akamwambia, “Hayo yote nimeyazingatia tangu utoto wangu; sasa nifanye nini zaidi?”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Huyo kijana akamwambia, “Hayo yote nimeyazingatia; nifanye nini zaidi?”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yule kijana akasema, “Hizi zote nimezishika. Je, bado nimepungukiwa na nini?”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Yule kijana akasema, “Hizi zote nimezishika. Je, bado nimepungukiwa na nini?”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Yule kijana akamwambia, Haya yote nimeyashika; nimepungukiwa na nini tena?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Huyo kijana akamwambia, “Hayo yote nimeyazingatia; nifanye nini zaidi?”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Yule kijana akamwambia: Hayo yote nimeyashika; ninalolisaza la kulifanya ni nini tena?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Yule kijana akamwambia, Haya yote nimeyashika; nimepungukiwa na nini tena?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Yule kijana akamwambia: “Nimetii hizo amri zote. Ninakosewa na nini tena?”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Yule kijima akamwambia, Haya yote nimeyashika tangu utoto wangu: nimepmigukiwa nini tena?