Matthew 2:19 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Baada ya kifo cha Herode, malaika wa Bwana alimtokea Yosefu katika ndoto kule Misri,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Baada ya Herode kufa, malaika wa Mwenyezi Mungu akamtokea Yusufu katika ndoto huko Misri
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Hata alipofariki Herode, tazama, malaika wa Bwana alimtokea Yusufu katika ndoto huko Misri,
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Wakati Yusufu na familia yake wakiwa Misri, Herode alifariki. Malaika wa Bwana akamjia Yusufu katika ndoto
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Baada ya kifo cha Herode, malaika wa Bwana alimtokea Yosefu katika ndoto kule Misri,
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Baada ya kifo cha Herode, malaika wa Bwana alimtokea Yosefu katika ndoto kule Misri,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Baada ya Herode kufa, malaika wa Bwana akamtokea Yosefu katika ndoto huko Misri
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Baada ya Herode kufa, malaika wa Mwenyezi Mungu akamtokea Yusufu katika ndoto huko Misri
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Herode alipofariki, tazama, malaika wa Bwana alimtokea Yusufu katika ndoto huko Misri,
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Baada ya kifo cha Herode, malaika wa Bwana alimtokea Yosefu katika ndoto kule Misri,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Herode alipokwisha kufa, mara malaika wa Bwana akamtokea Yosefu kwa ndoto huko Misri, akamwambia:
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Hata alipofariki Herode, tazama, malaika wa Bwana alimtokea Yusufu katika ndoto huko Misri,
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Herode alipokuwa amekwisha kufa, malaika wa Bwana akamutokea Yosefu katika ndoto kule Misri.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Hatta alipofariki Herode, malaika wa Bwana akamtokea Yusuf katika ndoto huko Misri, akinena,