Matthew 2:21 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Basi, Yosefu aliamka, akamchukua mtoto pamoja na mama yake, akarejea nchini Israeli.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Basi Yusufu, akainuka, akamchukua mtoto na mama yake wakaenda hadi nchi ya Israeli.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akaondoka akamchukua mtoto na mamaye, akafika nchi ya Israeli.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Hivyo Yusufu alidamka na kumchukua mtoto Yesu na mama yake na kurudi Israeli.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Basi, Yosefu aliamka, akamchukua mtoto pamoja na mama yake, akarejea katika nchi ya Israeli.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Basi, Yosefu aliamka, akamchukua mtoto pamoja na mama yake, akarejea nchini Israeli.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Basi Yosefu, akaondoka akamchukua mtoto na mama yake wakaenda mpaka nchi ya Israeli.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Basi Yusufu, akaondoka akamchukua mtoto na mama yake wakaenda mpaka nchi ya Israeli.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akainuka akamchukua mtoto na mamaye, akaenda katika nchi ya Israeli.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Basi, Yosefu aliamka, akamchukua mtoto pamoja na mama yake, akarejea nchini Israeli.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ndipo, alipoinuka, akamchukua mtoto na mama yake, akaiingia nchi ya Isiraeli.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akaondoka akamchukua mtoto na mamaye, akafika nchi ya Israeli.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Basi Yosefu akaamuka, akamutwaa mutoto pamoja na mama yake na kurudia katika inchi ya Israeli.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Akaondoka akamchukua mtoto na mama yake, akatika inchi ya Israeli.