Matthew 20:11 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wakazipokea fedha zao, wakaanza kumnungunikia yule bwana.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Walipoipokea, wakaanza kulalamika dhidi ya yule mwenye shamba,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Basi wakiisha kuipokea, wakamnung'unikia mwenye nyumba,
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Walipopata sarafu ya fedha, walimlalamikia mmiliki wa shamba.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Wakazipokea fedha zao, wakaanza kumnung'unikia yule bwana.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wakazipokea fedha zao, wakaanza kumnung'unikia yule bwana.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Walipoipokea, wakaanza kulalamika dhidi ya yule mwenye shamba,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Walipoipokea, wakaanza kulalamika dhidi ya yule mwenye shamba,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Basi wakiisha kuipokea, wakamnung'unikia mwenye nyumba,
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wakazipokea fedha zao, wakaanza kumnungunikia yule bwana.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Walipoipokea wakamnung'unikia mwenye nyumba
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Basi wakiisha kuipokea, wakamnung’unikia mwenye nyumba,
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Watu wale walipopokea mushahara ule, wakamunungunikia mwenye shamba.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Wakiisha kupokea, wakamnungʼunikia mwenye nyumba,