Matthew 20:32 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Yesu akasimama, akawaita na kuwauliza, “Mnataka niwafanyie nini?”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Isa akasimama na kuwaita, akawauliza, “Mnataka niwafanyie nini?”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Yesu akasimama, akawaita, akasema, Mnataka niwafanyie nini?
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Yesu alisimama na kuwaambia, “Mnataka niwafanyie nini?”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Yesu akasimama, akawaita na kuwauliza, “Mnataka niwafanyie nini?”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Yesu akasimama, akawaita na kuwauliza, “Mnataka niwafanyie nini?”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yesu akasimama na kuwaita, akawauliza, “Mnataka niwafanyie nini?”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Isa akasimama na kuwaita, akawauliza, “Mnataka niwafanyie nini?”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Yesu akasimama, akawaita, akasema, Mnataka niwafanyie nini?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Yesu akasimama, akawaita na kuwauliza, “Mnataka niwafanyie nini?”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ndipo, Yesu aliposimama, akawaita, akasema: Mwataka, niwafanyie nini?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Yesu akasimama, akawaita, akasema, Mnataka niwafanyie nini?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Yesu akasimama na kuwaita. Akawauliza: “Munataka niwafanyie nini?”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Yesu akasimama, akawaita, akasema, Mnataka niwafanyie nini?