Matthew 20:33 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wakamjibu, “Bwana, tunaomba macho yetu yafumbuliwe.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wakamjibu, “Bwana, tunataka kuona.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wakamwambia, Bwana, twataka macho yetu yafumbuliwe.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Wakajibu, “Bwana, tunataka tuweze kuona.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Wakamjibu, “Mheshimiwa, tunaomba macho yetu yafumbuliwe.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wakamjibu, “Bwana, tunaomba macho yetu yafumbuliwe.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wakamjibu, “Bwana, tunataka kuona.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wakamjibu, “Bwana, tunataka kuona.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wakamwambia, Bwana, twataka macho yetu yafumbuliwe.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wakamjibu, “Bwana, tunaomba macho yetu yafumbuliwe.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Wakamwambia: Bwana, twataka, macho yetu yafumbuke!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wakamwambia, Bwana, twataka macho yetu yafumbuliwe.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Nao wakamujibu: “Bwana, tunakuomba utuponyeshe macho.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Wakamwambia, Bwana, macho yetu yafumbuliwe.