Matthew 20:34 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Basi, Yesu akawaonea huruma, akawagusa macho yao, na papo hapo wakaweza kuona, wakamfuata.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Isa akawahurumia na kuwagusa macho yao. Mara macho yao yakapata kuona, nao wakamfuata.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Yesu akawahurumia, akawagusa macho yao; mara wakapata kuona, wakamfuata.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Yesu aliwahurumia wale wasiyeona. Akayagusa macho yao, na mara hiyo hiyo wakaanza kuona. Wakawa wafuasi wa Yesu.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Basi, Yesu akawaonea huruma, akawagusa macho yao, na papo hapo wakaweza kuona, wakamfuata.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Basi, Yesu akawaonea huruma, akawagusa macho yao, na papo hapo wakaweza kuona, wakamfuata.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yesu akawahurumia na kuwagusa macho yao. Mara macho yao yakapata kuona, nao wakamfuata.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Isa akawahurumia na kuwagusa macho yao. Mara macho yao yakapata kuona, nao wakamfuata.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Yesu akawahurumia, akawagusa macho yao; mara wakapata kuona, wakamfuata.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Basi, Yesu akawaonea huruma, akawagusa macho yao, na papo hapo wakaweza kuona, wakamfuata.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Yesu akawaonea uchungu, akawagusa macho yao. Mara wakapata kuona, wakamfuata.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Yesu akawahurumia, akawagusa macho yao; mara wakapata kuona, wakamfuata.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Yesu akawasikilia huruma. Akagusa macho yao, na mara moja wakapata kuona, nao wakamufuata.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Yesu akawahurumia, akawagusa macho yao; marra macho yao yakapata kuona, wakamfuata.