Matthew 21:17 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Basi, akawaacha, akatoka nje ya mji na kwenda Bethania, akalala huko.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Akawaacha, akatoka nje ya mji, akaenda hadi Bethania, akalala huko.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akawaacha, akatoka nje ya mji mpaka Bethania, akalala huko.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Kisha Yesu akawaacha na akaenda katika mji wa Bethania akalala huko.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Basi, akawaacha, akatoka nje ya mji na kwenda Bethania, akalala huko.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Basi, akawaacha, akatoka nje ya mji na kwenda Bethania, akalala huko.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Akawaacha, akatoka nje ya mji, akaenda hadi Bethania, akalala huko.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Akawaacha, akatoka nje ya mji, akaenda hadi Bethania, akalala huko.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akawaacha, akatoka nje ya mji mpaka Bethania, akalala huko.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Basi, akawaacha, akatoka nje ya mji na kwenda Bethania, akalala huko.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kisha akawaacha, akatoka mjini, akaenda Betania, akalala huko.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akawaacha, akatoka nje ya mji mpaka Bethania, akalala huko.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kisha akawaacha, akatoka inje ya muji wa Yerusalema, naye akaenda Betania na kulala kule.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Akawaacha, akatoka nje ya mji mpaka Bethania, akalala huko.