Matthew 21:22 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Na mkiwa na imani, chochote mtakachoomba kwa sala, mtapata.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Yoyote mtakayoyaomba mkisali na mkiamini, mtayapokea.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na yo yote mtakayoyaomba katika sala mkiamini, mtapokea.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Mkiamini, mtapokea kila mnachoomba.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Na mkiwa na imani, chochote mtakachoomba katika sala, mtapata.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Na mkiwa na imani, chochote mtakachoomba kwa sala, mtapata.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Lo lote mtakaloomba katika kusali, mkiamini, mtapokea.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Yoyote mtakayoyaomba mkisali na mkiamini, mtayapokea.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na yoyote mtakayoyaomba katika sala mkiamini, mtapokea.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Na mkiwa na imani, chochote mtakachoomba kwa sala, mtapata.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nayo yo yote, mtakayoyaomba katika maombo, mtayapata mkiwa mnamtegemea Mungu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na yo yote mtakayoyaomba katika sala mkiamini, mtapokea.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Na kitu chochote mutakachoomba, mukiamini, mutakipata.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Na yo yote mtakayoyaomba katika kusali, mkiamini, mtapokea.