Matthew 21:40 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Sasa, huyo mwenye shamba la mizabibu atakapokuja, atawafanyaje hao wakulima?”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Basi huyo mwenye shamba la mizabibu atakapokuja, atawafanyia nini hao wakulima?”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Basi atakapokuja yule bwana wa shamba la mizabibu, atawatendaje wale wakulima?
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Hivyo mmiliki wa shamba la mizabibu atawafanya nini wakulima hawa atakaporudi?”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
“Sasa, huyo mwenye shamba la mizabibu atakapokuja, atawafanyaje hao wakulima?”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Sasa, huyo mwenye shamba la mizabibu atakapokuja, atawafanyaje hao wakulima?”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Kwa hiyo, huyo mwenye shamba, atakapokuja atawafanyia nini hao wakulima?”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Kwa hiyo, huyo mwenye shamba la mizabibu atakapokuja, atawafanyia nini hao wakulima?”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Basi atakapokuja yule bwana wa shamba la mizabibu, atawatendaje wale wakulima?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Sasa, huyo mwenye shamba la mizabibu atakapokuja, atawafanyaje hao wakulima?”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Basi, mwenye mizabibu atakapokuja wakulima wale atawafanyia nini?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Basi atakapokuja yule bwana wa shamba la mizabibu, atawatendaje wale wakulima?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kisha Yesu akauliza: “Basi wakati mwenye shamba la mizabibu atakapokuja, atafanya nini na wale walimaji?”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Bassi atakapokuja yule bwana wa mizabibu, atawatendea nini wale wakulima?