Matthew 21:8 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Umati mkubwa wa watu wakatandaza nguo zao barabarani, na watu wengine wakakata matawi ya miti wakayatandaza barabarani.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Umati mkubwa wa watu wakatandaza mavazi yao barabarani, na wengine wakakata matawi kwenye miti, wakayatandaza barabarani.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Watu wengi katika ule mkutano wakatandaza nguo zao njiani; na wengine wakakata matawi ya miti, wakayatandaza njiani.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Akiwa njiani kuelekea Yerusalemu, watu wengi walitandaza mavazi yao barabarani kwa ajili Yake. Wengine walikata matawi ya miti na kuyatandaza barabarani ili kumkaribisha.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Umati mkubwa wa watu ukatandaza nguo zao barabarani, na watu wengine wakakata matawi ya miti wakayatandaza barabarani.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Umati mkubwa wa watu wakatandaza nguo zao barabarani, na watu wengine wakakata matawi ya miti wakayatandaza barabarani.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Umati mkubwa wa watu wakatandika nguo zao barabarani na wengine wakakata matawi kutoka kwenye miti wakayatandika barabarani.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Umati mkubwa wa watu ukatandaza mavazi yao barabarani, na wengine wakakata matawi kutoka kwenye miti, wakayatandaza barabarani.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Watu wengi katika ule mkutano wakatandaza nguo zao njiani; na wengine wakakata matawi ya miti, wakayatandaza njiani.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Umati mkubwa wa watu wakatandaza nguo zao barabarani, na watu wengine wakakata matawi ya miti wakayatandaza barabarani.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nayo makundi ya watu wengi sana wakatandika nguo zao njiani, wengine wakakata matawi ya miti, wakayatandika njiani,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Watu wengi katika ule mkutano wakatandaza nguo zao njiani; na wengine wakakata matawi ya miti, wakayatandaza njiani.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Watu wengi wakatandika nguo zao katika njia, na wengine wakakata matawi ya miti na kuyatandika katika njia vilevile.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Watu wengi katika makutano wakatandaza nguo zao njiani; wengine wakikata matawi ya miti, wakiyatandaza njiani.