Matthew 22:14 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Yesu akamaliza kwa kusema, “Wengi wamealikwa, lakini wachache wameteuliwa.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Kwa maana walioitwa ni wengi, lakini walioteuliwa ni wachache.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwa maana waitwao ni wengi, bali wateule ni wachache.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Ndiyo, watu wengi wamealikwa, lakini wachache tu ndiyo waliochaguliwa.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Yesu akamaliza kwa kusema, “Wengi wamealikwa, lakini wachache wameteuliwa.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Yesu akamaliza kwa kusema, “Wengi wamealikwa, lakini wachache wameteuliwa.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Kwa maana walioitwa ni wengi, lakini walioteuliwa ni wachache.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Kwa maana walioitwa ni wengi, lakini walioteuliwa ni wachache.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kwa maana waitwao ni wengi, bali wateule ni wachache.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Yesu akamaliza kwa kusema, “Wengi wamealikwa, lakini wachache wameteuliwa.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani waalikwao ni wengi, lakini wachaguliwao ni wachache tu!*
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwa maana waitwao ni wengi, bali wateule ni wachache.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kisha, Yesu akasema: “Watu wanaoitwa ni wengi, lakini wale wanaochaguliwa ni wachache.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Kwa maana wengi waitwao, wateule wachache.