Matthew 22:15 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kisha, Mafarisayo wakaenda zao, wakashauriana jinsi ya kumnasa Yesu kwa maneno yake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Ndipo Mafarisayo wakatoka nje wakaandaa mpango wa kumtega Isa katika maneno yake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ndipo Mafarisayo wakaenda zao, wakafanya shauri, jinsi ya kumtega kwa maneno.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Kisha Mafarisayo wakaondoka mahali ambapo Yesu alikuwa anafundisha. Wakapanga mpango wa kumfanya aseme kitu ambacho wangekitumia dhidi yake.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Kisha, Mafarisayo wakaenda zao, wakashauriana jinsi ya kumnasa Yesu kwa maneno yake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kisha, Mafarisayo wakaenda zao, wakashauriana jinsi ya kumnasa Yesu kwa maneno yake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Ndipo Mafarisayo wakatoka nje wakaandaa mpango wa kumtega Yesu katika maneno yake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Ndipo Mafarisayo wakatoka nje wakaandaa mpango wa kumtega Isa katika maneno yake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Ndipo Mafarisayo wakaenda zao, wakafanya shauri, jinsi ya kumtega kwa maneno.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kisha, Mafarisayo wakaenda zao, wakashauriana jinsi ya kumnasa Yesu kwa maneno yake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mafariseo wakaenda zao, wakala njama ya kumtega kwa maneno yake.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ndipo Mafarisayo wakaenda zao, wakafanya shauri, jinsi ya kumtega kwa maneno.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wafarisayo walienda kufanya shauri kusudi wapate kumunasa Yesu katika masemi.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Ndipo Mafarisayo wakaenda zao, wakafauya shauri, jinsi ya kumtega kwa maneno.