Matthew 22:17 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Haya, tuambie maoni yako. Je, ni halali au la, kulipa kodi kwa Kaisari?”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Tuambie basi, wewe unaonaje? Je, ni halali kulipa kodi kwa Kaisari, au la?”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Basi utuambie, Waonaje? Ni halali kumpa Kaisari kodi, ama sivyo?
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Sasa tuambie, unadhani ni sahihi kulipa kodi kwa Kaisari au la?”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Haya, twambie maoni yako. Je, ni halali au la, kulipa Kaisari?”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Haya, tuambie maoni yako. Je, ni halali au la, kulipa kodi kwa Kaisari?”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Tuambie basi, wewe unaonaje? Ni halali kulipa kodi kwa Kaisari au la?”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Tuambie basi, wewe unaonaje? Je, ni halali kulipa kodi kwa Kaisari, au la?”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Basi utuambie, Waonaje? Ni halali kumpa Kaisari kodi, ama sivyo?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Haya, tuambie maoni yako. Je, ni halali au la, kulipa kodi kwa Kaisari?”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Tuambie, unaonaje wewe? Iko ruhusa ya kumtolea Kaisari kodi au haiko?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Basi utuambie, Waonaje? Ni halali kumpa Kaisari kodi, ama sivyo?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Basi utuambie unafikiri nini: Sheria yetu inaturuhusu kulipa kodi kwa Mufalme wa Roma au hapana?”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Bassi utuambie, Waonaje? Ni halali kumpa Kaisari kodi, au si halali?