Matthew 22:19 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Nionesheni fedha ya kulipia kodi.” Nao wakamtolea sarafu ya fedha.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Nionesheni hiyo sarafu inayotumika kwa kulipia kodi.” Wakamletea dinari.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Nionyesheni fedha ya kodi. Nao wakamletea dinari.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Nionesheni sarafu inayotumika kulipa kodi.” Wakamwonesha Yesu sarafu iliyotengenezwa kwa fedha.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Nionyesheni fedha ya kulipia kodi.” Nao wakamtolea sarafu ya fedha. sarafu ya fedha.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Nionesheni fedha ya kulipia kodi.” Nao wakamtolea sarafu ya fedha.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Nionyesheni hiyo sarafu inayotumika kwa kulipia kodi.” Wakamletea dinari.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Nionyesheni hiyo sarafu inayotumika kwa kulipia kodi.” Wakamletea dinari.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Nionesheni fedha ya kodi. Nao wakamletea dinari.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Nionesheni fedha ya kulipia kodi.” Nao wakamtolea sarafu ya fedha.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
akawauliza: Chapa hiki cha nani? Maandiko nayo ya nani?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Nionyesheni fedha ya kodi. Nao wakamletea dinari.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Munionyeshe feza inayotolewa kwa kulipa kodi.” Basi wakamuletea kikoroti kimoja cha feza.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Nionyesheni fedha ya kodi. Nao wakamletea dinari.