Matthew 22:30 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Maana wafu watakapofufuka hawataoa wala kuolewa; watakuwa kama malaika mbinguni.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wakati wa ufufuo, watu hawataoa wala kuolewa, bali watakuwa kama malaika wa mbinguni.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwa maana katika kiyama hawaoi wala hawaolewi, bali huwa kama malaika mbinguni.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Watu watakapofufuliwa kutoka kwa wafu, wanaume hawataoa wake na wanawake hawataozwa kwa wanaume. Kila mtu atakuwa kama malaika walio mbinguni.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Maana wafu watakapofufuliwa hawataoa wala kuolewa, watakuwa kama malaika mbinguni.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Maana wafu watakapofufuka hawataoa wala kuolewa; watakuwa kama malaika mbinguni.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wakati wa ufufuo watu hawataoa wala kuolewa, bali watakuwa kama malaika wa Mungu mbinguni.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wakati wa ufufuo, watu hawataoa wala kuolewa, bali watakuwa kama malaika wa mbinguni.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kwa maana katika kiyama hawaoi wala hawaolewi, bali huwa kama malaika mbinguni.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Maana wafu watakapofufuka hawataoa wala kuolewa; watakuwa kama malaika mbinguni.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani katika ufufuko hawataoa, wala hawataolewa, ila watakuwa, kama malaika walivyo mbinguni.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwa maana katika kiyama hawaoi wala hawaolewi, bali huwa kama malaika mbinguni.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kwa maana wakati wafu watakapofufuka wataishi kama vile wamalaika wanavyoishi katika mbingu; hawataoa wala kuolewa.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Kwa maana katika kiyama hawaoi wala hawaozwi, bali huwa kama malaika wa Mungu mbinguni.