Matthew 23:2 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Waalimu wa sheria na Mafarisayo wana mamlaka ya kufafanua sheria ya Mose.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Walimu wa Torati na Mafarisayo wameketi kwenye kiti cha Musa,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Waandishi na Mafarisayo wameketi katika kiti cha Musa;
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
“Walimu wa sheria na Mafarisayo wana mamlaka ya kuwaambia Sheria ya Musa inasema nini.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
“Walimu wa Sheria na Mafarisayo wana mamlaka ya kufafanua Sheria ya Mose.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Waalimu wa sheria na Mafarisayo wana mamlaka ya kufafanua sheria ya Mose.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Walimu wa sheria na Mafarisayo wameketi katika kiti cha Mose,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Walimu wa Torati na Mafarisayo wameketi katika kiti cha Musa,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Waandishi na Mafarisayo wameketi katika kiti cha Musa;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Waalimu wa sheria na Mafarisayo wana mamlaka ya kufafanua sheria ya Mose.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
kwamba: Kitini pa Mose wamekaa waandishi na Mafariseo.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Waandishi na Mafarisayo wameketi katika kiti cha Musa;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
“Walimu wa Sheria na Wafarisayo wamepewa madaraka ya kueleza Sheria ya Musa.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Waandishi na Mafarisayo wameketi katika kiti cha Musa: