Matthew 23:33 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Enyi kizazi cha nyoka wenye sumu! Mnawezaje kuiepa hukumu ya moto wa Jehanamu?
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Ninyi nyoka, ninyi uzao wa nyoka wenye sumu! Mtaiepukaje hukumu ya Jehanamu?
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Enyi nyoka, wana wa majoka, mtaikimbiaje hukumu ya jehanum?
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Enyi nyoka! Ninyi mlio wa uzao wa nyoka wenye sumu kali! Hamtaikwepa adhabu. Mtahukumiwa na kutupwa Jehanamu!
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Enyi kizazi cha nyoka wenye sumu! Mnawezaje kuiepa hukumu ya moto wa Jehanamu?
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Enyi kizazi cha nyoka wenye sumu! Mnawezaje kuiepa hukumu ya moto wa Jehanamu?
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Ninyi nyoka, ninyi uzao wa nyoka wenye sumu! Mtaiepukaje hukumu ya jehanamu?
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Ninyi nyoka, ninyi uzao wa nyoka wenye sumu! Mtaiepukaje hukumu ya Jehanamu?
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Enyi nyoka, wana wa majoka, mtaikimbiaje hukumu ya Jehanamu?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Enyi kizazi cha nyoka wenye sumu! Mnawezaje kuiepa hukumu ya moto wa Jehanamu?
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
M nyoka, m wana wa chatu! Mtaikimbiaje hukumu ya kutumbukizwa shimoni mwa moto?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Enyi nyoka, wana wa majoka, mtaikimbiaje hukumu ya jehanum?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Ninyi kikundi cha nyoka! Namna gani mutaweza kuepuka azabu ya jehenamu?
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Enyi nyoka, mazao wa majoka, mtaikimbiaje hukumu ya jehannum?