Matthew 23:7 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Hupenda kusalimiwa kwa heshima sokoni na kupendelea kuitwa na watu: ‘Mwalimu.’
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Hupenda kusalimiwa masokoni na kutaka watu wawaite ‘Mwalimu.’
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
na kusalimiwa masokoni, na kuitwa na watu, Rabi.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Wanapenda kuitwa ‘Mwalimu’ Na kusalimiwa kwa heshima na watu kwenye masoko.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Hupenda kusalimiwa kwa heshima sokoni na kupendelea kuitwa na watu: Mwalimu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Hupenda kusalimiwa kwa heshima sokoni na kupendelea kuitwa na watu: ‘Mwalimu.’
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
hupenda kusalimiwa masokoni na kutaka watu wawaite ‘Rabi.’
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Hupenda kusalimiwa masokoni na kutaka watu wawaite ‘Mwalimu.’
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
na kusalimiwa masokoni, na kuitwa na watu, Rabi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Hupenda kusalimiwa kwa heshima sokoni na kupendelea kuitwa na watu: ‘Mwalimu.’
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Hupenda kuamkiwa na watu sokoni na kuitwa mfunzi mkuu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
na kusalimiwa masokoni, na kuitwa na watu, Rabi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wanapenda vilevile kusalimiwa kwa heshima kwenye nafasi za makutano, na kuitwa ‘Mwalimu.’
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
na kusalimiwa sokoni, na kuitwa na watu, Rabbi, Rabbi.