Matthew 23:9 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wala msimwite mtu yeyote ‘Baba’ hapa duniani, maana Baba yenu ni mmoja tu, aliye mbinguni.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Nanyi msimwite mtu yeyote ‘Baba,’ hapa duniani, kwa maana mnaye Baba mmoja, naye yuko mbinguni.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wala msimwite mtu baba duniani; maana Baba yenu ni mmoja, aliye wa mbinguni.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Nanyi msimwite mtu yeyote duniani ‘Baba’, maana mnaye Baba mmoja tu, naye yuko mbinguni.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Wala msimwite mtu yeyote Baba hapa duniani, maana Baba yenu ni mmoja tu aliye mbinguni.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wala msimwite mtu yeyote ‘Baba’ hapa duniani, maana Baba yenu ni mmoja tu, aliye mbinguni.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Nanyi msimwite mtu ye yote ‘Baba,’ hapa duniani kwa maana mnaye Baba mmoja, naye yuko mbinguni.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Nanyi msimwite mtu yeyote ‘Baba’ hapa duniani, kwa maana mnaye Baba mmoja, naye yuko mbinguni.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wala msimwite mtu baba duniani; maana Baba yenu ni mmoja, aliye wa mbinguni.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wala msimwite mtu yeyote ‘Baba’ hapa duniani, maana Baba yenu ni mmoja tu, aliye mbinguni.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Tena nchini msimwite mtu baba yenu! Kwani baba yenu ni mmoja, ni wa mbinguni.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wala msimwite mtu baba duniani; maana Baba yenu ni mmoja, aliye wa mbinguni.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Vilevile hapa katika dunia musimwite mutu yeyote ‘Baba’ kwa maana muko na Baba mumoja tu, anayekuwa mbinguni.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Wala msimwite mtu baba yenu duniani: maana Baba yeuu yu mmoja, aliye mbinguni.