Matthew 24:48 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Lakini kama mtumishi mbaya akijisemea moyoni: ‘Bwana wangu amekawia kurudi,’
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Lakini kama huyo mtumishi ni mwovu, naye akasema moyoni mwake, ‘Bwana wangu atakawia muda mrefu,’
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Lakini mtumwa yule mbaya akisema moyoni mwake, Bwana wangu anakawia;
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Lakini nini kitatokea ikiwa mtumishi huyo ni mbaya na akadhani kuwa bwana wake hatarudi karibuni?
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Lakini kama mtumishi mbaya akijisemea moyoni: Bwana wangu anakawia kurudi,
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Lakini kama mtumishi mbaya akijisemea moyoni: ‘Bwana wangu amekawia kurudi,’
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Lakini kama huyo mtumishi ni mwovu naye akasema moyoni mwake, ‘Bwana wangu atakawia muda mrefu,’
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Lakini kama huyo mtumishi ni mwovu, naye akasema moyoni mwake, ‘Bwana wangu atakawia muda mrefu,’
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Lakini mtumwa yule mbaya akisema moyoni mwake, Bwana wangu anakawia;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Lakini kama mtumishi mbaya akijisemea moyoni: ‘Bwana wangu amekawia kurudi,’
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Lakini mtumwa aliye mwovu atasema moyoni mwake: Bwana wangu anakawia,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Lakini mtumwa yule mbaya akisema moyoni mwake, Bwana wangu anakawia;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lakini kama mutumishi yule ni mutu mubaya, atajisemesha yeye mwenyewe kwamba bwana wake anakawia,
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Bali mtumishi yule mbaya akisema moyoni mwake, Bwana wangu anakawia;