Matthew 25:11 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Baadaye wale wasichana wengine wakaja, wakaita: ‘Bwana, Bwana, tufungulie!’
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Baadaye wale wanawali wengine nao wakaja, wakaita, ‘Bwana! Bwana! Tufungulie mlango!’
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Halafu wakaja na wale wanawali wengine, wakasema, Bwana, Bwana, utufungulie.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Baadaye wanawali waliokwenda kununua mafuta wakarudi. Wakasema, ‘bwana, bwana! Fungua mlango tuingie.’
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Baadaye wale wanawali wengine wakaja, wakaita: Bwana, bwana, tufungulie!
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Baadaye wale wasichana wengine wakaja, wakaita: ‘Bwana, Bwana, tufungulie!’
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Baadaye wale wanawali wengine nao wakaja, wakaita, ‘Bwana! Bwana! Tufungulie mlango!’
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Baadaye wale wanawali wengine nao wakaja, wakaita, ‘Bwana! Bwana! Tufungulie mlango!’
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Halafu wakaja na wale wanawali wengine, wakasema, Bwana, Bwana, utufungulie.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Baadaye wale wasichana wengine wakaja, wakaita: ‘Bwana, Bwana, tufungulie!’
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Halafu wakaja nao wanawali wale wengine wakasema: Bwana, Bwana, tufungulie!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Halafu wakaja na wale wanawali wengine, wakasema, Bwana, Bwana, utufungulie.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
“Nyuma, hao wengine wakafika, na kuanza kusema: ‘Bwana, bwana, utufungulie!’
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Khalafu wakaja na wale wanawali wengine, wakinena, Bwana, Bwana, utufungulie.