Matthew 25:13 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kisha Yesu akasema, “Kesheni basi, kwa maana hamjui siku wala saa.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Kwa hiyo kesheni, kwa sababu hamjui siku wala saa.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Basi kesheni, kwa sababu hamwijui siku wala saa.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Hivyo iweni tayari kila wakati. Hamjui siku wala muda ambao Mwana wa Adamu atakuja.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Kisha Yesu akasema, “Kesheni basi, kwa maana hamjui siku wala saa.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kisha Yesu akasema, “Kesheni basi, kwa maana hamjui siku wala saa.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Kwa hiyo kesheni, kwa sababu hamjui siku wala saa.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Kwa hiyo kesheni, kwa sababu hamjui siku wala saa.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Basi kesheni, kwa sababu hamwijui siku wala saa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kisha Yesu akasema, “Kesheni basi, kwa maana hamjui siku wala saa.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwa hiyo kesheni! Kwani hamwijui siku wala saa, Mwana wa mtu atakapojia.*
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Basi kesheni, kwa sababu hamwijui siku wala saa.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Na Yesu akaongeza kusema: “Basi mukeshe, kwa sababu hamujui siku wala saa ile.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Bassi kesheni, maana hamwijui siku wala saa ajapo Mwana wa Adamu.